Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Breaking : MCHUNGAJI MSIGWA AJIONDOA CCM, ARUDI CHADEMA





Mchungaji Peter Msigwa ametangaza kujiondoa rasmi CCM na kurejea CHADEMA baada ya kufuata taratibu zote za chama hicho. 

Pia ameomba radhi kwa wanachama wa CHADEMA walioumizwa na msimamo wake wa awali.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com