Post Top Ad
Showing posts with label shinyanga. Show all posts
Showing posts with label shinyanga. Show all posts
Monday, May 23, 2022
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP George Kyando akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu Mei 23,2022 Na Kadama Malunde...
Sunday, May 22, 2022
BARRICK KUENDELEA KUTEKELEZA SERA YA USHIRIKISHWAJI WATANZANIA KATIKA MNYORORO WA UCHUMI WA MADINI (LOCAL CONTENT)
Meneja wa Barrick nchini, Georgia Mutagahywa, akizungumza kwenye jukwaa la kwanza la utekelezaji wa ushirikishwaji wa Watanzania katika sekt...
Saturday, May 21, 2022
WADAU WA MAENDELEO WAHAMASISHWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUWAWEZESHA WENYE ULEMAVU KUPATA ELIMU
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu imewahamasisha wadau wa maendeleo waendeleo kuunga jitihada za k...
Friday, May 20, 2022
WAFANYA MAZOEZI SHINYANGA 'PJFCS' WATEMBELEA KIWANDA CHA JAMBO
Wanachama wa klabu ya mazoezi Polisi Jamii Fitness Center (PJFCS) akipiga picha ya pamoja ndani ya kiwanda cha Jambo mara baada ya kumaliza ...
SHIRIKALA THUBUTU AFRICA LAZINDUA MRADI WA HISANI KATIKA JAMII
Viongozi mbalimbali wa kata zilizolengwa na mradi huo wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa mradi wa Hisani katika jamii( Co...
TAKUKURU YABAINI DOSARI UJENZI SHULE MPYA ZA USULE NA BUTENGWA, KITUO CHA AFYA SALAWE, BARABARA MANISPAA YA SHINYANGA
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga Hussein Mussa akizungumza na waandishi wa habari leo Ijumaa Mei 20,2022 Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Shinyang...
Thursday, May 19, 2022
MLINZI ADAIWA KUUA MCHIMBAJI MADINI MWAKITOLYO AKIGOMBANA NA MKEWE…WANANCHI WAVUNJA VUNJA OFISI, NYUMBA YA KAMANDA WA SUNGUSUNGU
Muonekano wa ofisi ya Mwenyekiti wa Kitongoji Namba 2 kijiji cha Nyaligongo kata ya Mwakitolyo wilaya ya Shinyanga na vitu mbalimbali baada ...
Wednesday, May 18, 2022
Picha : RC MJEMA AKUTANA NA WAZEE WA MKOA WA SHINYANGA
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika ukumbi wa Mikutano wa ...
Picha : RC SOPHIA MJEMA AZINDUA CHANJO YA UGONJWA WA KUPOOZA 'POLIO' MKOA WA SHINYANGA...WATOTO 450,000 KUPEWA MATONE
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akimpa mtoto matone ya Chanjo ya kuzuia ugonjwa wa kupooza (Polio) wakati wa uzinduzi wa Chanjo ...
Monday, May 16, 2022
Picha : MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI MKOA WA SHINYANGA..WAMPONGEZA RAIS SAMIA...RC MJEMA AWAPA TANO
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati akifungua Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari mkoa wa Shinyanga...
SERIKALI, ICS WAZINDUA PROGRAMU TUMISHI YA ELIMU YA MALEZI KWA WATOTO (ParentApp)
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera na Uratibu wa Bunge, George Simbachawene,akizindua program Tumishi ya ParentApp kwa wazazi/walezi w...
Video Mpya : GUDE GUDE - MAWAZO
Malunde 1 blog inakualika kutazama video mpya ya Msanii maarufu wa nyimbo za Asili Gude Gude inaitwa Mawazo
Video Mpya : MAMA USHAURI - SUZANA
Malunde 1 blog inakualika kutazama video ya wimbo mpya wa Msanii Maarufu Mama Ushauri inaitwa Suzana
Saturday, May 14, 2022
Video Mpya : NTEMI O MABALA - NJABHI NJABHI
Malunde 1 blog inakualika kutazama Video Mpya ya Msanii Maarufu wa Nyimbo za asili Ntemi Omabala inaitwa Njabhi Njabhi... Tazama hapa chini
Friday, May 13, 2022
Picha : WADAU WAKUTANA KUJADILI TATHMINI YA UTEKELEZAJI MTAKUWWA SHINYANGA
Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Zuwena Omary akizungumza kwenye kikao cha Tathimini cha MTAKUWWA. Na Marco Maduhu, SHINYANGA SERIKALI mko...
Thursday, May 12, 2022
CELINA GOMBANILLAH, MFANYAKAZI BORA MGODI WA BULYANHULU ANAYEAMINI UUGUZI NI KAZI YA WITO
Celina Gombanillah ** Kufanya kazi ya Uuguzi kunahitaji kuwa na moyo wa kujituma na kujitolea, pamoja na kusomea taaluma hiyo bado Wauguzi w...
Wednesday, May 11, 2022
DC MBONEKO AONYA MATUMIZI FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO, WAKANDARASI WAZINGUAJI...ATAKA USHIRIKIANO MADIWANI NA WATENDAJI
Mkuu wa wilaya ya Shinayanga Jasinta Mboneko akizungumza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani Manispaa ya Shinyanga. Na Marco Maduhu, SHINY...
Tuesday, May 10, 2022
ASKARI WA JESHI LA ZIMAMOTO ANUSURIKA KICHAPO BAADA YA KUFIKA NA BODABODA BILA GARI LA KUZIMIA MOTO NYUMBA IKIUNGUA MOTO SHINYANGA MJINI
Wananchi wakitaka kumshushia kichapo Askari wa Jeshi la Zimamoto mara baada ya kufika eneo la tukio akiwa na Bodaboda bila ya kuwa na Gari l...
KATAMBI ATIMIZA AHADI KWA VIONGOZI WA BAKWATA SHINYANGA
Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Samwel Jackson (kulia) akimkabidhi Katibu wa BAKWATA Mkoa wa Shinyanga, Ally Idrissa Abeid sh...
MADIWANI MANISPAA YA SHINYANGA WAANIKA CHANGAMOTO ZILIZOPO KWENYE KATA ZAO
Madiwani wakiwa kwenye kikao cha Baraza. Na Marco Maduhu, SHINYANGA MADIWANI wa Manispaa ya Shinyanga wamewasilisha taarifa za kwenye Kata z...
Post Top Ad
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.