Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

GARI ILIYOBEBA WAANDISHI WA HABARI YAPATA AJALI SHINYANGA



 Gari la Msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga limepata ajali eneo la Usanda wilaya ya Shinyanga barabara ya Tabora - Shinyanga, wakati likikwepa gari aina ya Toyota Harrier na kuingia kwenye mtaro. 

Taarifa za awali zinaeleza kuwa watu watano wamejeruhiwa katika ajali hiyo akiwemo Mwandishi wa Habari wa ITV/Radio One Bw. Frank Mshana, Johnson Zacharia na Boazi.

Majeruhi wote wamepelekwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Shinyanga. 

Taarifa zaidi zitawajia kadiri tutakavyo zipata.

CHANZO - ITV

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com