Friday, January 15, 2021
WANAFUNZI 10 BORA , SHULE 10 BORA KITAIFA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2020
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha nne huku wavulana wakiongoza katika orodha ya wanafunzi 10 bora.
NECTA YAFUTA MATOKEO YA WATAHINIWA 215 KIDATO CHA NNE 2020...YAZUIA MATOKEO YA WATAHINIWA 252
Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles MsondeMSICHANA ALIYESHIKA NAFASI YA KWANZA KWA WASICHANA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2020 AFUNGUKA
Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Canossa aliyeshika nafasi ya kwanza kwa wasichana katika mtihani wa kidato cha nne mwaka 2020 Justina Ge...ALIYESHIKA NAFASI YA KWANZA KITAIFA MATOKEO KIDATO CHA NNE 2020 ANATOKA FAMILIA YA WASOMI
Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya kwanza kitaifa katika mtihani wa kidato cha nne mwaka 2020, Paul Luziga aliyekuwa akisoma shule ya sekondari...HATIMAYE MAMA DANGOTE AMTAJA BABA MZAZI WA MSANII DIAMOND PLATNUMZ
Sanura Kassim maarufu mama Dangote ambaye ni mama mzazi wa msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz amesema baba halisi wa mwanaye ni Salum Iddi...
Breaking News : ANGALIA HAPA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI, DARASA LA NNE, KIDATO CHA NNE NA MAARIFA 2020
MATOKEO YA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE NA MAARIFA, UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE KWA MWAKA 2020 YAMETANGAZWA..TAZA...NAIBU WAZIRI WA UJENZI NA UCHUKUZI, MHANDISI KASEKENYA AIPONGEZA TMA
Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya (katikati) akizungumza na uongozi na menejimenti ya Mamlaka ya Hali ya Hewa n...
KUWA WA KWANZA KUPOKEA HABARI UKIWA NA APP YA MALUNDE 1 BLOG...PAKUA HAPA IMEBORESHWA 2021
Kuwa wa Kwanza kupata habari na matukio yanayojiri Tanzania na dunia kwa ujumla kwa kupakua/ kudownload App ya Malunde 1 blog tukuhabarish...
MAENEO YENYE MIFUMUKO YA MADINI LAZIMA YARASIMISHWE - PROF. MANYA
Naibu Waziri wa Madini Prof. Shukrani Manya akingumza jambo na baadhi ya wadau wa Madini pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa ...UZINDUZI KIJANISHA WILAYA YA IKUNGI-SINGIDA YASHIKA KASI
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo akiongoza zoezi la maadhimisho ya uzinduzi wa upandaji miti kitaifa kwa ngazi ya wilaya mkoani S...Thursday, January 14, 2021
TCRA YATOA ONYO KWA WANAORUSHA MATANGAZO YA RUNINGA KWA NJIA YA WAYA 'CABLE TV'
Mkuu wa TCRA Kanda ya Ziwa, Mhandinsi Francis Mihayo (katikati) akizungumza kwenye kikao hicho kilichofanyika jijini Mwanza kikiwashirikisha...WANACHAMA SHINYANGA PRESS CLUB WAPIGWA MSASA KUHUSU MATUKIO YA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO
Mwakilishi kutoka Dawati la Jinsia la Jeshi la Polisi mkoa wa Shinyanga, Mkaguzi Msaidizi wa Polisi, Analyse Kaika akitoa elimu ya sheria mb...
RAIS WA ZANZIBAR DK. MWINYI, MAALIM SEIF SHARIFF HAMAD WATUA CHATO KUZUNGUMZA NA JPM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi pam...
MCHUNGAJI ALIYEBAKA NA KUWAPA MIMBA BINTI ZAKE ATUPWA JELA MIAKA 140...ASEMA ALIPITIWA NA SHETANI
Mahakama nchini Kenya imemfunga kifungo cha miaka 140 jela mchungaji aliyewabaka wasichana wake wawili wa miaka 14 na miaka 16 na kuwapatia...
MTWIVILA CITY (IFUENGA UNITED) YAIFUATA IVAMBINUNGU FC FAINALI YA ASAS SUPER LEAGUE
Kikosi cha timu ya Mtwivila city (Ifuenga united) kilichofanikiwa kuingia fainali ya Asas super leagueWATAALAM WA KILIMO SINGIDA WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA YA KILIMO CHA UMWAGILIJI KATIKA KAZI ZAO.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu toka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Bw. Daudi Kaali akiwasilisha mada katika kikao kazi nawataalam wa Kilimo na Ushirika...
TAKUKURU YAREJESHA NYUMBA ILIYOPORWA KINYEMELA BAADA YA MMILIKI WAKE KUSHINDWA KULIPA MKOPO WA SHILINGI LAKI TATU KAHAMA
Wananchi wakishuhudia Mkuu wa wilaya ya Kahama Anamringi Macha akimkabidhi nyaraka za umiliki wa nyumba mtoto wa marehemu Rose Edward ambayo...
KAIMU MKURUGENZI ASIMAMISHWA KAZI KWA KUSAFIRISHA MAITI YA MTUMISHI JUU YA GARI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo amemuagiza Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo Mhandisi J...
MITANDAO YA KIJAMII YAZIMWA MKESHA WA UCHAGUZI UGANDA
Mamlaka nchini Uganda ilikatiza hudama za intaneti saa kadhaa kabla ya uchaguzi wa urais unaokumbwa na ushindani mkali kati ya nyota wa muzi...
WAKRISTO WATAKIWA KUPANDA MBEGU BORA WAPATE MAVUNO MENGI
Mtumishi wa Mungu Mwalimu Joyce Mwakalasya baada ya kutoa mafunzo ya upandaji wa mbegu kwa waumini wa Kanisa la Moravian Usharika wa Kijich...
YANGA BINGWA MAPINDUZI CUP, YAICHAPA SIMBA SC KWENYE MIKWAJU YA PENALTI 4-3
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduziu Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuano ya Mapinduzi Cu...Wednesday, January 13, 2021

MBUNGE NEEMA LUGANGIRA AHOJI MAHUSIANO KATI YA LISHE BORA NA VIFO VYA AKINA MAMA WAJAWAZITO VINAVYOTOKANA NA UZAZI
Mkutano wa "Tanzania Maternal Mortality and Nutrition - Mama Mjamzito na Mbogamboga" ambao umeandaliwa na Mbunge Neema Lugangir...
CHAMA CHA WANAUME WACHOYO CHAANZISHWA...GUMZO MTANDAONI
Taarifa kuhusu chama cha wanaume wachoyo cha Nigeria- Stingy Men Association of Nigeria (Smen), imeenea kwenye mtandao wa kijamii waTwitter ...GARI LA KUBEBA MAITI LAKAMATWA LIKIWA NA MIRUNGI BUNDA 1685 TANGA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Blasius Chatanda akuzungumza na waandishi wa habari leo kwenye kituo cha Polisi Chumbageni Jijini Tanga kuhu...
VYUO VIKUU NCHINI VYAASWA KUTOA WATAALAMU WENYE UJUZI WA KUJIAJIRI
Katibu Mkuu wa Elimu,Sayansi Teknolojia Dkt.Leonard Akwilapo akizungumza katika kikao cha wadau kujadili rasimu ya miongozo ya usalama wa...