RAIS MAGUFULI ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI VIFO VYA WATU 10 BASI KUGONGA TRENI KIGOMA


Rais Magufuli ametuma salamu za rambirambi kufuatia vifo vya watu 10 waliofariki baada ya basi la Kampuni ya Hamida kugonga treni ya mizigo mkoani Kigoma.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527