YANGA YAANZA MAZOEZI UWANJA WA UHURU

Taswira namna kikosi cha Yanga kilivyofanya mazoezi yake kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.

Yanga ndiyo mabingwa watetezi Ligi Kuu Bara wanaoshika nafasi ya tatu baada ya mechi 10 nyuma ya vinara Simba na Azam FC walio katika nafasi ya pili.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527