Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Tanzia : VICTORY SENGE AFARIKI DUNIA

Victory Senge enzi za uhai wake


Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Shinyanga, Victory Senge, ambaye pia alikuwa mmiliki wa maduka ya nguo ya Victorious yaliyopo Ngokolo Mjini Shinyanga, amefariki dunia leo Jumamosi, Mei 2, 2026 katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza.

Taarifa zaidi tutakuletea baadaye.

R.I.P Vicky

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com