Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

MALUNDE 1 BLOG YATIMIZA MIAKA MITANO TANGU KUANZISHWA KWAKE

Malunde1 blog leo Oktoba 08,2017 inatimiza umri wa miaka MITANO tangu kuanzishwa kwake tarehe 08.10.2012. 



Mwanzilishi: Kadama Malunde 

Mmiliki: Kadama Malunde 

Jina la blog: Malunde1 blog, Fahari ya Shinyanga 

Anuani: malunde.com

Application katika Play store : Malunde 

Uanachama: Tanzania Bloggers Network (TBN) 

Lengo: Kuchapisha habari za ndani na nje ya mkoa wa Shinyanga.

Mgawanyo  wa   Machapisho:Habari,Shinyanga,Matukio,Siasa,Matangazo,Mapenzi,Magazeti,Burudani,Michezo Nyimbo za asili 

Upekee: Habari za Shinyanga kila siku na Nyimbo za asili kila Weekend

Waendeshaji: Waandishi wa habari 

Eneo: Dunia nzima

Mawasiliano: Simu/Whatsapp +255757478553 au 0625918527



ASANTE KWA KUENDELEA KUTUAMINI KWA HABARI ZA UKWELI NA UHAKIKA KWA MUDA MUAFAKA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com