
Leo kutoka hapa Bukombe yanafanyika maadhimisho ya siku ya mwalimu duniani kwa wilaya ya Bukombe mkoani Geita ikiwa ni msimu wa sita toka kuanzishwa kwa maadhimisho haya hapa Bukombe.
Mgombea ubunge wa Jimbo la Bukombe na Naibu Waziri Mkuu Dkt. Doto Biteko atakuwepo na mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Kassim.



Social Plugin