Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

INEC YATOA ANGALIZO KWA CHAMA CHA ACT - WAZALENDO KUHUSU LUHAGA MPINA




Mhe. Luhaga Joelson Mpina akiwa na Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej. Wawili hao walikuwa wapeperushe bendera ya chama cha ACT WAZALENDO kabla ya kuwekewa pingamizi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kuenguliwa katika mbio za kuwania kiti cha Rais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com