Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

NILISHINDWA KUPATA MTOTO KWA MIAKA SABA LAKINI SIKU MOJA BAHATI ILINIGUSA



Kwa miaka saba, nilijaribu kila njia kupata mtoto lakini sikufanikiwa. Nilikuwa kwenye ndoa nzuri mwanzoni, lakini kadri muda ulivyopita bila mimba, kila kitu kilianza kubadilika. 

Mume wangu, ambaye awali alikuwa mpole na mwenye upendo, alianza kuwa mtu tofauti kabisa. Alianza kuchelewa kurudi nyumbani, na mara nyingine hakuwa akizungumza nami hata siku nzima. Soma zaidi

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com