BSL YATOA MSAADA WA VIFAA MBALIMBALI SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI JIJINI DODOMA
Sunday, November 06, 2022
Mkurugenzi wa The BSL Investment Company Limited na BSL SCHOOLS amekabidhi ufadhili wa vifaa mbalimbali mbele ya afisa elimu msingi na sekondari jiji la DODOMA.
Shule 10 zimenufaika 9 za msingi na 1 ya sekondari. Ametoa lita 120 za rangi, cement kg 500, mipira ya miguu 2, vitabu 117 na vifaa vinginevyo vya kielimu.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin