DK. MWINYI AENDELEA KUISIMAMISHA ZANZIBAR AKISAKA KURA....'ICHAGUENI CCM KAMA MNATAKA AMANI,UMOJA NA MAENDELEO'
Monday, October 19, 2020
Mgombea Urais wa Zanzibar Kupitia tiketi ya CCM Dkt Hussein Ali Mwinyi anaendelea kuisimamisha Zanzibar katika safari ya Kufika kila eneo la Mzanzibar Kunadi Sera za CCM na Leo Jumatatu Oktoba 19 alikuwa Paje Wilaya ya Kusini Mkoani Unguja Kusini. Haya ndiyo aliyoyazungumza Kwenye Mkutano huo Mkubwa wa Kampeni.
#YajayoniNeematupu #Mwinyi2020.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin