YANGA IMESHUSHA CHUMA KIPYA KUTOKA DR. CONGO


Klabu ya Yanga leo jumamosi Novemba 25, 2017 imemsajili Festo Kayembe Kanku kwa  mkataba wa miaka miwili.

Kanku ambae ni raia wa DR Congo anaemudu nafasi ya ulinzi wa kati amefanikiwa kusaini kandarasi hiyo baada ya majukumu kadhaa ya majaribio ndani ya klabu hiyo chini ya kocha George Lwandamina.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527