MATOKEO YA MECHI ZOTE ZA LEO LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA

 
 

Ligi kuu ya Vodacom imefunguliwa leo Agosti 26 ,2017 kwa kuchezwa micheozo saba katika viwanja mbalimbali. 

Yafuatayo ni matokeo ya mechi zote saba za leo

1.Simba 7-0 Ruvu shooting 
2.Mwadui 2-1 Singida United
3. Ndanda 0- 1 Azam -
4.Kagera sugar 0-1 Mbao
5.Njombe Mji 0-2 Tanzania Prisons
6.Mbeya City 1-0 Majimaji
7. Mtibwa 1-0 Stand United

Kesho jumapili Agosti 27,2017 kutakuwa na mechi moja,Yanga watavaana na Lipuli.Mchezo utachezwa katika uwanja wa Uhuru Dar es salam saa kumi jioni

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527