DARAJA LA MTO RUVU LIMEANGUKA

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema daraja la mto Ruvu kwa njia ya reli limeanguka, hivyo kusababisha safari za treni toka Dar es salaam - Morogoro  kutokuwepo.
Tutawaletea habari kamili hivi punde...

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527