MUATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA AANDAA JENEZA NA KUCHIMBA KABURI AKIFA AZIKWE HAPO


Nafahamu umeshakutana na habari nyingi za watu ambao hutoa maagizo kwa ndugu zao kwamba siku wakifa wazikwe kwa majeneza gani au kuchagua sehemu za kuzikwa, leo nakukutanisha na hii ya Dubliner John Edwards, 61.

Huyu ni raia wa Ireland Kaskazini ambaye ni muathirika wa dawa za kulevya, naambiwa ameamua kuchimba kaburi lake na kutengeneza Jeneza ili siku akifa azikwe hapo.

Edwards, ambaye amepoteza zaidi ya marafiki zake 20, baadhi yao kwa kujiua kutokana na dawa za kulevya, kupitia kile alichosema: “Kukutana na ajabu ya Mungu miaka 27 iliyopita”, ameamua kuanzisha kituo cha kikristo kitoacho huduma ya malazi na makazi kwa ajili ya watu hao.




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527