Tazama Video ya Mama Ushauri Kutoka Tinde Unaitwa- "Baba Jeni"
Saturday, June 18, 2016
Ni weekend nyingine mpenzi msomaji wa Malunde1 blog,tunakutana katika kipengele chetu cha nyimbo asili..Nakukaribisha uangalie Video ya Msanii Mama Ushauri anayeimba kwa lugha ya Kisukuma na Kiswahili,wimbo unaitwa Baba Jeni..Ni wimbo mzuri unaohusu changamoto wanazopitia wanandoa..Utazame hapa chini
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin