Ndivyo ilivyo!! TAZAMA HALI HALISI YA MAZINGIRA KATIKA BAADHI YA MAENEO MJINI SHINYANGA
Friday, November 22, 2013
Haya sio maji yanayotokana na mvua bali ni maji yanayotoka katika bomba la maji,haijulikani ni kwanini yanavuja na yanavujia wapi,lakini ukifika katika eneo la Bimbo maarufu kwa mzee Msenda kata ya Ndembezi ndani ya Manispaa ya Shinyanga utajionea maji yakivuja katika barabara,haijulikani kama mamlaka ya maji safi na maji taka katika manispaa ya Shinyanga SHUWASA inatambua kuwa katika baadhi ya maeneo mabomba ya maji yamepasuka au kuharibika
Ni katika eneo la barabara inayotoka Bimbo hadi OXFAM,zaidi ya miezi mitano maji yamekuwa yakivuja na kufanya barabara hiyo iwe kero kwa wapitaji na pengine wakazi wa eneo hilo kukumbwa na wimbi la mbu
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
Social Plugin
TAFUTA HABARI
MAFUNZO NA LESENI
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin