
Maisha yangu yalikuwa changamoto kubwa kwa muda mrefu. Nimelea kijijini, ambapo fursa ni chache na kila hatua inahitaji jitihada zisizo za kawaida.
Familia yangu ilikabiliana na umasikini, na mara nyingi nilijikuta nikiteseka kuona ndugu zangu wakishindwa kupata chakula cha kutosha au elimu bora.
Nilijaribu kila njia ya kupata kipato, lakini kila jaribio liligeuka kuwa hasara. Hali hiyo ilinifanya nijisikie kuwa maisha yangu yalikuwa yametulia kwenye umaskini usioisha.
Social Plugin