MWANAMKE AFARIKI DUNI BAADA YA KUSHAMBULIWA NA MAMBA AKIOGA MTONI
Sunday, January 15, 2023
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Modesta Shido (31) mkazi wa Ubaruku Mbarali Mkoani Mbeya amekutwa amefariki kwa kushambuliwa na Mamba sehemu a kiunoni wakati akioga Mtoni katika Mto wa Mkoji uliopo katika Kijiji cha Lyala Mkoani Mbeya.
Akithibitisha tukio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya ACP Benjamin Kuzaga amesema limetokea Mnamo tarehe 09.01.2023 majira ya saa Tisa Mchana huko katika Kijiji cha lyala Kata ya Luhanga Mbarali ambapo Chanzo cha kifo ni kuoga Mtoni na kupelekea kung na Mamba katika Mto wa Mkoji.
Kamanda Kuzaga ametoa wito kwa Wananchi kuacha kuwa na tabia ya kuoga mtoni.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin