TANESCO SHINYANGA YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA KUWAUNGANISHIA HUDUMA YA UMEME WANANCHI WALIOTUMA MAOMBI KUPITIA NI-KONEKT
Thursday, October 06, 2022
Shirika la
Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Shinyanga limeadhimisha Wiki ya Huduma kwa
Wateja kwa kuwaunganishia huduma ya umeme wateja wake walioomba huduma ya umeme
kupitia mfumo wa NI-KONEKT.
TANESCO
Shinyanga imetoa huduma hiyo Oktoba 5,2022 katika maeneo ya Ibadakuli,Kizumbi, Ngokolo katika
Manispaa ya Shinyanga.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin