MGOMBEA CCM AFARIKI GHAFLA DAKIKA CHACHE KABLA YA KUANZA UCHAGUZI
Saturday, October 01, 2022
Aliyekuwa mgombea wa ujumbe wa mkutano mkuu Taifa na Halmashauri Kuu ya Wilaya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Calisti Silayo amefariki dunia ghafla.
Silayo amefikwa na mauti baada ya kujisikia vibaya muda mfupi kabla ya kuanza kwa uchaguzi uliofanyika ukumbi wa Shauritanga, Ijumaa, Septemba 30,2022.
Katibu wa CCM Wilaya ya Rombo, Mary Sule amesema, muda mfupi kabla ya uchaguzi kuanza kwa wagombea kujieleza, Silayo alijisikia vibaya na kupelekwa Hospitali Teule ya Huruma kwa matibabu.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin