NG'OMBE AVALISHWA SIDIRIA ILI ASIPATE MAGONJWA

Dunia haishiwi vituko.....Mkulima anayejulikana kwa jina la Graham Burnet kutoka nchini Scotland amewashangaza wengi baada ya kuwa mbunifu kwa kumvalisha ng’ombe wake sidiria.

Aidha imeelezwa kuwa mkulima huyo anafanya hivyo kwa minajili ya kumkinga ng’ombe wake huyo asipate maambukizi kwenye chuchu zake.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527