HII HAPA ORODHA YA WATU 10 WENYE USHAWISHI ZAIDI DUNIANI

Kiongozi wa China Xi Jinping ndiye mtu mwenye ushawishi Zaidi duniani, kwa mujibu wa jarida la Forbes. Amechukua nafasi hiyo baada ya bunge China kumpa mamlaka zaidi na kuondoa kikomo cha muhula wa rais.


Jingping amechukua nafasi hiyo kutoka kwa Rais Vladimir Putin wa Urusi ambaye kwa sasa anashika nafasi ya pili.


World Most #PowerfulPeople List of @Forbes #forbes


1. Xi Jinping
2. Vladimir Putin
3. @realDonaldTrump
4. Angela Merkel
5 @JeffBezos @amazon
6. Pope Francis
7. @BillGates
8. Mohammed bin Salman Al Saud
9. @narendramodi
10. Larry Page @Google


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527