Picha : WACHEZAJI WA SHYTOWN VETERANS WAKIWA KATIKA UWANJA WA POLISI KAMBARAGE SHINYANGA
Thursday, March 29, 2018
Wachezaji wa Klabu ya Shytown Veterans ' Shytown Veterans Sports Club' ya mkoa wa Shinyanga wakiwa katika uwanja wa polisi Kambarage mjini kabla ya kuanza mazoezi ya kawaida mwishoni mwa wiki iliyopita.
Klabu hiyo ya wachezaji wa zamani wa mpira wa miguu inaongozwa na mwenyekiti wao Christopher Msigwa na katibu Mohamed Katoto.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin