DAKIKA 3 ZA SHOW YA MAMA USHAURI KISHAPU SHINYANGA KWENYE SHEREHE ZA CCM
Anonymous-
Leo nakusogezea show ya Msanii wa nyimbo za asili Mama Ushauri alipoalikwa kutumbuiza katika sherehe za maadhimisho ya miaka 41 ya Chama Cha Mapinduzi Februari 4,2018 Kishapu mkoani Shinyanga..Nimekuwekea dakika 3 tu ..Burudika hapa chini
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527