RADI YAUA WANAFUNZI WATATU WA SHULE YA SEKONDARI HUKO SONGWE
Monday, November 06, 2017
Wanafunzi watatu wa shule ya secondari Ndyuda iliyopo katika Mji Mdogo wa Mlowo Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wamefariki dunia kwa kupigwa na radi ya mvua iliyonyesha jioni hii.
Dr. Janneth Makoye mganga mkuu wa hospitali ya wilaya ya Mbozi amethibitisha kuwa watoto hao wamefikishwa hospitali ya Vwawa wakiwa tayari wamefariki.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin