PICHA ZAIDI ZA NYALANDU ALIVYOJITAMBULISHA KWA LOWASSA MARA BAADA YA KUHAMIA CHADEMA
Wednesday, November 08, 2017
Aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Lazaro Nyalandu jana alimtembelea Waziri Mkuu wa zamani na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa ofisini kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujitambulisha.
“Mzee wangu nimekuja kujitambulisha na kusema asante kutufungulia mlango,” alisema Nyalandu katika taarifa iliyotolewa na ofisi ya Lowassa jana jioni.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin