Breaking News ; BOTI YA MV JULIUS YAZAMA ZIWA VICTORIA
Anonymous-
Watu 17 wameokolewa baada ya boti ya MV Julius kuzama katika ziwa Victoria.Jeshi la Polisi linaendelea kufuatilia kubaini kama kuna watu waliosahaulika majini.
Taarifa zaidi inakuja hivi punde.. Chanzo-Muungwana blog
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527