BENKI YA NMB YAFUNGUA TAWI JIPYA KATIKA MJI WA HEDARU WILAYANI SAME


Tawi jipya la Benki ya NMB lililopo katika mji wa Hedaru wilayani Same mkoani Kilimanjaro.
Barabara ya kuelekea tawi jipya la Benkiya NMB katika mji wa Hedaru wilayani Same mkoani Kilimanjaro.
Mkuu wa wilaya ya Same,Rosemery Staki akizungumza wakati wa uzinduzi wa tawi jipya la Benki ya NMB katika mji wa Hedaru wilayani Same.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB kanda ya Kaskazini.
Afisa Mkuu wa wateja wadogo na wa kati wa benki ya NMB,Abdulmajid Nsekela akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la NMB -Hedaru.
Meneja wa NMB tawi la Nelson Mandela ,Emanuel Kishosha akifuatilia uzinduzi wa tawi jipya la Benki ya NMB tawi la Hedaru.
Baadhi ya wateja wa Benki ya NMB waliohudhuria ufunguzi rasmi wa tawi la Benki hiyo katika mji wa Hedaru.
Afisa Mkuu wa Wateja wado na wa kati wa Benki ya NMB,Abdulmajid Nsekela akiteta jambo na Mkuu wa wilaya ya Same ,Rosemery Staki wakati wa uzinduzi wa tawi hilo.
Afisa Mkuu wa Wateja wado na wa kati wa Benki ya NMB,Abdulmajid Nsekela akimuongoza mgeni rasmi,Mkuu wa wilaya ya Same ,Rosemery Staki kwenda kuzindua rasmi tawi hilo.
Mkuu wa wilaya ya Same,Rosemery Staki akizindua tawi la Benkiya NMB,katika mji wa Hedaru wilayani Same.
Afisa Mkuu wa Wateja wadogo na wa kati wa Benki ya NMB,Abdulmajid Nsekela na Mkuu wa wilaya ya Same ,Rosemery Staki wakipiga makofi mara baada ya tendo la uzinduzi wa tawi hilo kufanyika.

Mkuu wa wilaya ya Same,Rosemery Staki akitia saini kitabu ha wageni mara baada ya kuzindua rasmi tawi la Benki ya NMB,katika mji wa Hedaru.
Mgeni rasmi ,Rosemery Staki akizungumza na mmoja wa wafanyakaz wa benki hiy mara baada ya kuzinduliwa katka mji wa Hedaru.
Meneja wa NMB,Kanda ya Kaskazin Salie Mlay akitoa neno la shukrani mara baada ya kuhitimisha hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la NMBkatika mji wa Hedaru wilayani Same.




Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527