TIGO FIESTA SUPANYOTA 2017 YAPATA MWAKILISHI KUTOKA MKOA WA RUKWA


Msimamizi mkuu wa Tigo Fiesta SupaNyota Nickson George akitangaza walioingia mchujo wa 11 bora. 
Majaji wakijadiliana jambo. 
Top 6 walioingia kwenye mchujo 
Mshindi wa Tigo Fiesta SupaNyota 2017 mkoani Rukwa , Ze Battle 16 akifanya yake kwenye steji. 
Meneja Biashara na Masoko Tigo nyanda za juu kusini, Oliver Baltazar akishuhudia mshindi wa Tigo fiesta supanyota mkoani Rukwa, Ze Battle 16 akipongezwa na mshindi wa pili, Ambrose mara baada ya kumtangaza mshindi. Kushoto ni Meneja Mauzo Tigo mkoa Rukwa Francis Ndada
Majaji wa Tigo Fiesta Supa Nyota wakiwa kwenye picha ya pamoja na mshindi aliyepatikana mkoani Rukwa, Ze Battle 16. 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527