HAYA HAPA MATOKEO YA MECHI ZOTE ZA LEO LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA MZUNGUKO WA SABA
Saturday, October 21, 2017
Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara imeendelea tena leo Jumamosi Oktoba 21, 2017 kwa michezo sita ya mzungukowa saba katika viwanja mbalimbali. matokeo ya mechi zote za leo ni haya hapa chini
Simba 4-0 Njombe Mji
Mbao Fc 0-0 Azam Fc
Mbeya City 2-0 Ruvu Shooting
Lipuli Fc 1-0 Majimaji
Mtibwa Sugar 1-0 Tanzania Prisons
Ndanda Fc 0-0 Singida United
Kesho Jumapili kutakuwa na mechi moja ya kukamilisha mzunguko wa saba ambapo Stand United itacheza na Yanga katika uwanja wa Kambarage Shinyanga
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin