Video : MRITHI WA NYANDA MADIRISHA 'NCHAINA' - NALISOSOMEJE


Kama kawaida ya Malunde1 blog kukusogeza karibu kabisa na wasanii wa nyimbo za asili,leo tunakukutanisha na Nchaina kutoka Kahama mkoani Shinyanga ametuletea ngoma yake mpya inaitwa Nalisosomeje iliyoongozwa na Manwell wa studio za Hardtone zilizopo Kahama. 
Msanii Nchaina ndiye alirithi kazi ya kaka yake Msanii Nyanda Madirisha ambaye alifariki mwezi Agosti,2016 akijiandaa kufanya show.

Tazama ngoma hii kali ya Kisukuma

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527