NAPE NNAUYE AMPA TANO MAGUFULI : HILI LA MCHANGA ....BIG UP!!



Mbunge wa Mtama mapema leo hii baada ya Rais John Magufuli kumfuta kazi Waziri wa Nishati na Madini Professa Sospita Muhongo kutokana na wizara yake kutowajibika na kashfa ya Makontena ya Mchanga wa w Dhahabu.

Rais Magufuli amepokea taarifa ya awali ya uchunguzi wa Kontena za mchanga wa Dhahabu.

Nape Mnauye amemsifu kitendo cha Rais 
Magufuli kuwawajibishwa watendaji wa serikali na kumpongeza kwa kitendo hicho


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527