FUNDI AFARIKI KWA KUANGUKA KUTOKA GHOROFA YA 16 DAR

FUNDI ujenzi wa ghorofa la MNF Square lililoko katikati ya jiji la Dar es Salaam, amefariki dunia papo hapo baada ya kuteleza kutoka ghorofa ya 16.


Watu walioshudia tukio hilo wamesema kuwa fundi huyo alianguka juzi saa 10:00 alasiri katika ghorofa hilo wakati wakiendelea na kazi ya ujenzi.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Salumu Hamduni, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527