Audio:ASKOFU GWAJIMA AFUNGUKA KUHUSU DIAMOND PLATNUMZ NA HALIMA MDEE,AFUNGUKA KUHUSU ROMA MKATOLIKI
Anonymous-
Askofu Josephat Gwajima amemuonya Msanii Diamond Platnumz kumuimba katika wimbo wake huku akimtaka mbunge Halima Mdee kuacha mara moja tabia ya kutukana viongozi.
Askofu Gwajima pia amezungumzia sakata ya msanii Roma Mkatoliki kutekwa.
Sikiliza hapa mahuburi ya Askofu Gwajima leo Jumapili Aprili 9,2017 katika kanisa la Ufufuo na Uzima
Bofya hapa
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527