MAALIM SEIF AVULIWA UKATIBU MKUU CUF

Leo Machi 28 2017 Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi ‘CUF’ Prof. Ibrahim Lipumba ameongea na Waandishi wa Habari kuhusu maazimio ya Baraza Kuu la Chama hicho.

Moja ya ajenda waliopitisha ni kumvua nafasi ya Ukatibu Mkuu wa chama hicho Maalim Seif na nafasi yake kukaimiwa na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho bara Magdalena Sakaya.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527