HAYA HAPA MAJINA 26 YA WACHEZAJI 23 WATAKAOUNDA KIKOSI CHA TAIFA STARS

Machi 13 2017, kocha wa muda wa timu ya Taifa la Tanzania Salum Mayanga ametangaza majina ya wachezaji 23 watakaounda kikosi cha Taifa Stars. Mayanga ambaye amerithi nafasi hiyo kutoka kwa kocha Charles Boniface Mkwasa ametaja majina ya wachezaji hao leo.

Wachezaji hao wataingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya michezo ya kirafiki iliyopo katika kalenda ya FIFA.
Goalkeepers                 
-Deo Munishi
-Aishi Manula
-Said Mohamed
Defenders
-Erasto Nyoni
-David Mwantika
-Hassan Kessy
-Mohamed Hussein
-Salim Mbonde
-Abdi Banda
-Shomari Kapombe
-Gadiel Michael
Midfielders
-Himid Mao
-Jonas Mkude
-Said Ndemla
-Mzamiru Yassin
-Salum Abubakari
-Frank Domayo
Wingers
-Simon Msuva
-Farid Mussa
 -Shiza kichuya
-Hassan Kabunda
Forwads
-Mbaraka Yusuph 
-Abdulrahman Mussa
-Ibrahim Hajibu
-Thomas Ulimwengu
-Mbwana Samatta

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527