Rais Dk. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Nchini (DCI) Diwani Athumani (Pichani) kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu.
RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI WA MAKOSA YA JINAI TANZANIA
Rais Dk. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa Makosa ya Jinai Nchini (DCI) Diwani Athumani (Pichani) kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu.