RAIS MAGUFULI ASEMA MKUU WA MKOA WA SIMIYU ANTONY MTAKA NDIYO ANAYEONGOZA KWA KUCHAPA KAZI VIZURI TANZANIA NZIMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemtaja mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka, kuwa ndiye…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemtaja mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh. Anthony Mtaka, kuwa ndiye…
“Nimei-miss sana Tanzania na nimewa-miss Watanzania.” Hii ndiyo kauli ya Tundu Lissu leo Septemba 7 anapotimiza mwaka mmoja…
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ukonga, kimesema uchaguzi katika jimbo hilo unanyemelewa na jinamizi kut…
Mgombea Jair Bolsonaro alibebwa na wafuasi wake baada ya kuchomwa na kisu Mgombea anayeongoza anaeminika anaweza kushinda u…
Wenyeviti 20 wa vijiji wa Chadema katika jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro wamehamia CCM leo Alhamisi Septemba 6, 2018.
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva Craython Revocatus Chipando, maarufu kama Baba Levo aliwasili mapema leo katika Mahakama ya…
Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally Katika mwendelezo wa mahojiano aliyoyafanya na Raia Mwema, amemnyooshea kidole, Mkuu wa …
Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa amesema wabunge 16 wa CCM waliopo Monduli katika kampeni za uchaguzi wa ubunge za chama …
Wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wametoka ndani ya Ukumbi wa Bunge wakati Mbunge wa Buyungu, Christoph…
WAKATI baadhi ya watu wakionekana kumuombea Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda afukuzwe, kiongozi huyo amewarushia…
Mkutano wa Kumi na Mbili wa Bunge unatarajiwa kuanza siku ya Jumanne tarehe 4 Septemba, 2018 na kumalizika tarehe 14 Septemba…
Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amesema kitendo cha Asia Msangi kujitokeza kugombea ubunge Ukonga ni ujasiri …
Umoja wa Vijana wa CCM unapenda kuujulisha umma wa Watanzania na wanachama wote kwa ujumla kuwa kikao cha Baraza kuu la UVCCM T…
Mbunge wa Uganda ambaye inadaiwa aliteswa na maafisa wa usalama,Robert Kyagulanyi maarufu kwa jina la Bobi Wine ameruhusiwa…
Katibu Mkuu wa CCM Dk Bashiru Ally amesema chama hicho hakitakuwa na bajeti kwa ajili ya wasanii na badala yake watabaki na vik…
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema chama hicho kinafuatilia majadiliano ya wanachama wao katika mitandao ya kijamii …
Mbunge wa Upinzani nchini Uganda ambaye pia ni mwanamuziki, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine ambaye anadaiwa kupigwa …
Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema amemuita mmoja wa mawaziri wa Serikali ya Awamu ya Tano aeleze alipopata ekari 1,…
Rais John Magufuli amewataka viongozi kujenga mazingira ya kuwatumikia wananchi bila kujali wapo kwenye nafasi gani.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
Ok