Madaktari Bingwa Wanaotoa Huduma Kwa Watoto Wenye Vichwa Vikubwa Wametua Shinyanga


Kuna watu tu wana mioyo ya kusaidia wengine na wameamua kufanya kwa vitendo, sasa baada ya kufanikiwa kuhudumia watoto zaidi ya 125 wenye vichwa vikubwa na migongo wazi huku watoto 55 wakiwa wamefanyiwa upasuaji, GSM Foundation na timu ya Madaktari bingwa kutoka MOI sasa wameingia Shinyanga.

Kuanzia kesho watakuwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga kutoa tiba bure kwa watoto kuanzia saa tatu asubuhi na kuendelea, kama una ndugu yako au yeyote mwenye Watoto wa aina hii inabidi waletwe kupata hii tiba bure ambayo imegharimiwa kwa asilimia 100% na GSM Foundation.









Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527