ANGALIA HAPA MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI GAMBOSI..ILIYOPO KIJIJI CHA GAMBOSHI

Shule ya Msingi Gambosi iliyopo katika kijiji Maarufu nchini Tanzania cha Gamboshi kata ya Gamboshi halmashauri ya wilaya ya Bariadi Vijijini Mkoani Simiyu ni miongoni mwa shule zilizofanya vizuri katika Matokeo ya Darasa la Saba mwaka 2019.


 Shule ya Msingi Gambosi inayoangukia kwenye kundi la shule zenye wanafunzi 40 au zaidi imeshika nafasi ya 17 kati ya 58 za halmashauri ya Bariadi Vijijini, ya 26 kati ya shule 357 kimkoa huku ikishika nafasi ya 434 kati ya shule 9929 kitaifa ikiwa na watahiniwa 65.




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527