DIAMOND PLATNUMZ,RAYVANNY WAFUNGA MITAA DAR
Wasanii kutokea WCB, Rayvanny na Diamond Platnumz jana Jumapili October 28, walifunga baadhi ya mitaa Posta Dar es Salaam ku…
Wasanii kutokea WCB, Rayvanny na Diamond Platnumz jana Jumapili October 28, walifunga baadhi ya mitaa Posta Dar es Salaam ku…
Muigizaji na Mchekeshaji maarufu wa kundi la vichekesho la FUTUHI ,Karumekenge amefariki dunia.
Manyika Jr akisaini mkataba. Aliyekuwa mlinda mlango wa timu ya Singida United Peter Manyika Jr, amejiunga na klabu ya …
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza amekataa kukubali utetezi wa mrembo wa Tanzania mwaka …
Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetoa barua maalum ambayo inatoa taarifa kuwa Amber Rutty sio msanii hapa nchini, kwani…
Bodi ya Filamu nchini, imemfungia msanii wa filamu 'Bongo Movie' Wema Sepetu, kutojishughulisha na masuala ya filam…
Twanga Pepeta wanakualika kutazama video yao mpya,wimbo unaitwa Povu...Itazame hapa
Msanii wa muziki Bongo, Barnaba anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya uitwao It's Over. Itazame hapa.
Msanii wa muziki Bongo, Aslay anakukaribisha kutazama video ya wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Ananikomoa. Itazame hapa.…
Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe amesema Taasisi ya Sanaa Bagamoyo (TaSUba) ni kiwanda cha w…
Muimbaji wa Bongo Flava, Diamond Platnumz ameshinda tuzo mbili za African Entertainment Awards USA 2018 zilizofanyika October…
Super star wa Muziki wa Injili anayekuja juu kwa sasa Irene Robert, amefurahia mapokezi aliyoyapata toka aachie video yake …
Hapo jana October 17, 2018 msanii Nay wa Mitego alifika kuchukua barua Baraza la Sanaa Taifa (BASATA).
Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group na Rais wa kitengo cha Masoko cha ABINBEV kanda ya Afrika Mashariki, Roberto Jarrin (Kushoto) ak…
Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine Ndugulile (wa pili kushoto), akimkabidhi kad…
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa muda wa miezi miwili na nusu kwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezoiwe imekamili…
Msanii wa muziki Bongo , Jux anakukaribisha kutazama video ya wimbo mpya uitwao Tell Me. Itazame hapa.
Mtayarishaji kutoka tasnia ya Bongo Fleva, Pancho Latino ambae alifanya kazi kwenye studio mbalimbali ikiwemo kwa Dully Sy…
Msanii Mbasando ameachia video yake mpya inaitwa Jifume ...
Msanii wa muziki wa Bongo fleva Emmanuel Elibariki maarufu kama 'Nay wa Mitego',amekanusha uvumi kuhusiana na kauli y…
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more
Ok