BASATA : AMBER RUTTY SIYO MSANII ...HATUMTAMBUI


Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetoa barua maalum ambayo inatoa taarifa kuwa Amber Rutty sio msanii hapa nchini, kwani hatambuliki na hajasajiliwa na Baraza hilo.

Kwa mujibu wa barua hiyo imeelezea kwamba iwapo Amber Rutty atafanya kosa lolote na kuvunja sheria, wahusika watamchukulia hatua stahili na halitajihusisha nae.

Sambamba na hilo barua hiyo imewaasa wasanii wote kufuata maadili na kutovunja shria za nchi, ili kutetea sanaa yao.

Soma hapa

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527