SHANGWE ZA HAFLA YA TBL KUMKARIBISHA SAMUEL ETO'O JIJINI DAR


Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group na Rais wa kitengo cha Masoko cha ABINBEV kanda ya Afrika Mashariki, Roberto Jarrin (Kushoto) akibadilishana mawazo na Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Barcelona na timu ya Taifa ya Cameroon, Samuel Eto’o.
Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group na Rais wa kitengo cha Masoko cha ABINBEV kanda ya Afrika Mashariki, Roberto Jarrin (Kushoto) akibadilishana mawazo na Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Barcelona na timu ya Taifa ya Cameroon, Samuel Eto’o ( Katikati) wakati wa hafla ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na TBL jijini Dar es Salaam, Eto’o alikuja nchini kwa udhamini wa Castle Lager kuzindua mradi wa ujenzi wa uwanja wa 5-A Side utakaojengwa katika maeneo ya Oysterbay jijini Dar es Salaam, Kulia ni Meneja chapa wa bia ya Castle Lager . Pamela Kikuli
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Barcelona na timu ya Taifa ya Cameroon, Samuel Eto’o , akipongezana na Meya wa Kinondoni Benjamini Sitta ,(Kushoto) wakati wa hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na TBL jijini Dar es Salaam, wa pili kulia ni : Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group na Rais wa kitengo cha Masoko cha ABINBEV kanda ya Afrika Mashariki, Roberto Jarrin, Meneja chapa wa bia ya Castle Lager , Pamela Kikuli ( Kulia) na Meneja Udhamini na Mawasiliano ya wateja wa TBL, David Tarimo (wa pili kushoto).
Eto’o akifurahi na wageni waalikwa.
Baadhi ya wafanyakazi wa TBL katika picha ya pamoja na Eto’o wakati wa hafla hiyo

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527