Post Top Ad
Monday, May 2, 2022
Home
habari
WAZIRI NAPE NNAUYE ATEMBELEA BANDA LA LHRC MAONESHO YA KIHABARI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI
WAZIRI NAPE NNAUYE ATEMBELEA BANDA LA LHRC MAONESHO YA KIHABARI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (kulia) akisoma kitabu katika banda la Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (Legal and Human Rights Centre - LHRC) leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani na Maonesho ya Kihabari yanayoambatana na Maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya habari duniani yakiongozwa na kauli mbiu ‘Uandishi wa habari na changamoto za kidigiti'. Picha na Kadama Malunde 1 blog
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (kulia) akisoma kitabu katika banda la Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (Legal and Human Rights Centre - LHRC) leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani na Maonesho ya Kihabari yanayoambatana na Maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya habari duniani yakiongozwa na kauli mbiu ‘Uandishi wa habari na changamoto za kidigiti'.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (kulia) akizungumza katika banda la Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (Legal and Human Rights Centre - LHRC) leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani na Maonesho ya Kihabari yanayoambatana na Maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya habari duniani yakiongozwa na kauli mbiu ‘Uandishi wa habari na changamoto za kidigiti'.
Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Author Details
Malunde 1 blog ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.
No comments:
Post a Comment