Picha : WAZIRI NAPE NNAUYE ATEMBELEA BANDA LA TCRA MAONESHO YA KIHABARI MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI


Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (kulia) akiwa katika Banda la TCRA akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mwandamizi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Semu Mwakyanjala kuhusu huduma zinazotolewa na TCRA leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha. Waziri Nape Nnauye ametembelea banda la TCRA wakati akifungua maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani na Maonesho ya Kihabari yanayoambatana na Maadhimisho ya siku ya Uhuru wa vyombo vya habari duniani yakiongozwa na kauli mbiu ‘Uandishi wa habari na changamoto za kidigiti'Picha na Kadama Malunde 1 blog 
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (kulia) akiwa katika Banda la TCRA akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mwandamizi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Semu Mwakyanjala kuhusu huduma zinazotolewa na TCRA leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha.
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (kulia) akiwa katika Banda la TCRA akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Mwandamizi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Semu Mwakyanjala kuhusu huduma zinazotolewa na TCRA leo Jumatatu Mei 2022 katika ukumbi wa Gran Melia Hotel Jijini Arusha.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments