Picha : MISA YA MAZISHI YA DAVID NKULILA KATIKA KANISA KATOLIKI LA MAMA MWENYE HURUMA NGOKOLO
Wednesday, August 25, 2021
Mwili wa aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Shinyanga David Nkulila (57) aliyefariki dunia Agosti 23,2021 umewasili katika Kanisa Katoliki la Mama Mwenye Huruma Ngokolo Mjini Shinyanga kwa ajili ya Misa ya kumwombea marehemu.
Mazishi yanafanyika leo mchana katika makaburi ya Mageuzi Ndembezi Mjini Shinyanga
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin