BENKI YA CRDB NA WAKALA WA SERIKALI MTANDAO ZANZIBAR WAINGIA MAKUBALIANO


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) akibadilishana hati na Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Serikali Mtandao Zanzibar (E-Government ), Said Seif Said muda mfupi baada ya kutiliana saini ya makubaliano ya ushirikiano wa Huduma ya Malipo kwa Mtandao baina ya Benki ya CRDB na Wakala wa Serikali Mtandao Zanzibar (E-Government), utakaolenga kuboresha huduma zitolewazo kwa Wateja na Watanzania kwa ujumla ikiwa ni pamoja na kurahisisha ukusanyaji mapato, malipo ya Taasisi za Serikali na binafsi ikiwamo ada na kusaidia ukuaji wa utalii kwa kuwa na kituo kimoja cha makusanyo (one centre collection). Hafla hiyo imefanyika leo kwenye Hoteli ya Park Hyatt, Unguja, Zanzibar.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Serikali Mtandao Zanzibar (E-Government ), Said Seif Said wakitiliana saini ya makubaliano ya ushirikiano wa Huduma ya Malipo kwa Mtandao baina ya Benki ya CRDB na Wakala wa Serikali Mtandao Zanzibar (E-Government), utakaolenga kuboresha huduma zitolewazo kwa Wateja na Watanzania kwa ujumla ikiwa ni pamoja na kurahisisha ukusanyaji mapato, malipo ya Taasisi za Serikali na binafsi ikiwamo ada na kusaidia ukuaji wa utalii kwa kuwa na kituo kimoja cha makusanyo (one centre collection). 
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kushoto) akizungumza katika hafla fupi ya kutiliana saini makubaliano ya ushirikiano wa Huduma ya Malipo kwa Mtandao baina ya Benki ya CRDB na Wakala wa Serikali Mtandao Zanzibar (E-Government), utakaolenga kuboresha huduma zitolewazo kwa Wateja na Watanzania kwa ujumla ikiwa ni pamoja na kurahisisha ukusanyaji mapato, malipo ya Taasisi za Serikali na binafsi ikiwamo ada na kusaidia ukuaji wa utalii kwa kuwa na kituo kimoja cha makusanyo (one centre collection), katika hafla iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Park Hyatt, Unguja, Zanzibar. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Serikali Mtandao Zanzibar (E-Government ), Said Seif Said (kulia) akizungumza katika hafla fupi ya kutiliana saini makubaliano ya ushirikiano wa Huduma ya Malipo kwa Mtandao baina ya Benki ya CRDB na Wakala wa Serikali Mtandao Zanzibar (E-Government), utakaolenga kuboresha huduma zitolewazo kwa Wateja na Watanzania kwa ujumla ikiwa ni pamoja na kurahisisha ukusanyaji mapato, malipo ya Taasisi za Serikali na binafsi ikiwamo ada na kusaidia ukuaji wa utalii kwa kuwa na kituo kimoja cha makusanyo (one centre collection), katika hafla iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Park Hyatt, Unguja, Zanzibar.
Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo (kushoto) na Afisa Mkuu wa Biashara wa Benki ya CRDB, Boma Raballa wakifatilia hafla ya kutiliana saini ya makubaliano ya ushirikiano wa Huduma ya Malipo kwa Mtandao baina ya Benki ya CRDB na Wakala wa Serikali Mtandao Zanzibar (E-Government), utakaolenga kuboresha huduma zitolewazo kwa Wateja na Watanzania kwa ujumla ikiwa ni pamoja na kurahisisha ukusanyaji mapato, malipo ya Taasisi za Serikali na binafsi ikiwamo ada na kusaidia ukuaji wa utalii kwa kuwa na kituo kimoja cha makusanyo (one centre collection), katika hafla iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Park Hyatt, Unguja, Zanzibar.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments